bongohotzone.blogspot.com
Bongo Hot Zone: Penzi la Kajala Masanja na Petit Man laota mabawa
http://bongohotzone.blogspot.com/2013/11/penzi-la-kajala-masanja-na-petit-man.html
Tuesday, November 12, 2013. Penzi la Kajala Masanja na Petit Man laota mabawa. Habari zilizogazaa mtaani zinasema kuwa penzi la mwanadada Kajala Masanja na Petit Man Wakuache ambaye ni anafanya kazi na Wema Sepetu kwenye kampuni ya Endless Fame Production limeota mabawa na kwa sasa Petit Man anatoka na mdogo wake Vanessa Mdee. Kwa mujibu wa The Gossip corp wa clouds FM wawil hao hawapo pamoja tena na mwanadada kajala amejaribu sana kumsihi Petit man wakuache warudiane bila mafanikio. Blog Marafiki na BHZ.
bongohotzone.blogspot.com
Bongo Hot Zone: ALBAM YA WEUSI YAKWAMA
http://bongohotzone.blogspot.com/2012/07/albam-ya-weusi-yakwama.html
Tuesday, July 17, 2012. ALBAM YA WEUSI YAKWAMA. Staa wa hip hop kutoka 'Kruu' ya Weusi iliyokita kambi pande za A-Town, Nikki wa Pilli amesema kuwa albam ya kundi hilo iliyokuwa itoke mapema mwezi uliopia imekwama. Imewekwa na: Bervone Michael. Subscribe to: Post Comments (Atom). Wageni wa BHZ kwa nchi zao. There was an error in this gadget. Pata habari kutoka BBC. Soma mistari katika Biblia. Blog Marafiki na BHZ. Badilisha Fedha na BHZ. 160; Tanzanian Shilling Exchange Rate. BHZ Piga simu nje ya nchi.
bongohotzone.blogspot.com
Bongo Hot Zone: Quotations
http://bongohotzone.blogspot.com/p/quotations.html
Quotations by Bervone Michael. Nothing makes the earth seem as spacious as to have friends at a distance, they make the latitudes and longitudes. I do believe that the world today is upside-down and it is suffering so much, because there is so very little love in the homes and in family life…. Lots of people don’t seem to understand the real meaning of Love…. For me love is give and take, so u doesn’t have to give what u can’t take! The beauty of Exisistance,. From the smallest flower,. Today is a vision,.
bongohotzone.blogspot.com
Bongo Hot Zone: Mchungaji Mtanzania aliyemuoa mwanaume mwenzake huyu hapa
http://bongohotzone.blogspot.com/2012/09/mchungaji-mbogo-aliyemuoa-mwanaume.html
Wednesday, September 12, 2012. Mchungaji Mtanzania aliyemuoa mwanaume mwenzake huyu hapa. MCHUNGAJI wa Kanisa la Glory of God Miracle Center, Peter Rashid Aboubakar (pichani), ametupiwa skendo kisha yeye mwenyewe akakiri kuoa mwanaume mwenzake. Peter ambaye mwenyewe hupenda aitwe mtume, ameshuhudia mbele ya Uwazi kwamba ni kweli alioa mwanaume lakini ni zama ambazo alikuwa hajaokoka wala kupata upako wa kuongoza kanisa. 8220;Niliishi naye kwa miaka sita. Mwaka 1998 niliachana naye baada ya kuokoka...
kwafujodeejayz.blogspot.com
kwafujodjeejayz: PREZZO BAADA YA KUMPONDA DIAMOND MASHABIKI WAMVAA
http://kwafujodeejayz.blogspot.com/2013/07/prezzo-baada-ya-kumponda-diamond.html
Saturday, July 13, 2013. PREZZO BAADA YA KUMPONDA DIAMOND MASHABIKI WAMVAA. Msanni Prezzo wa Kenya atakuwa amepata sample ya majibu ya baadhi ya fans wake ambao wengi ni wakenya baada ya kumdiss Diamond Platinumz wa Tanzania kupitia akaunti yake ya twitter July 10. Sample ya majibu hayo ina. Weza kuonekana kupitia comments zote za fans kwenye habari iliyowekwa na mtandao wa ghafla wa nchini Kenya, ambapo asilimia 99 wameonesha kutokubaliana na alichokifanya. Diamond hadi sasa bado hajazungumza chochote.
kwafujodeejayz.blogspot.com
kwafujodjeejayz: HASHEEM THABEET AIBUKIA NDANI YA BONGO STAR SEARCH
http://kwafujodeejayz.blogspot.com/2013/07/hasheem-thabeet-aibukia-ndani-ya-bongo.html
Sunday, July 28, 2013. HASHEEM THABEET AIBUKIA NDANI YA BONGO STAR SEARCH. Jaji mkuu wa BSS Rita Paulsen aliandika kupitia ukurasa wake wa facebook kwamba, “Rafiki yangu Hasheem Thabeet alikuja kuwapa moyo. Na kuonyesha support yake kwa vijana wanaofanya usaili. Namshukuru sana kwa mchango wake”. Mtanzania pekee anayeiwakilisha Tanzania kwenye ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani maarufu kama NBA, Hasheem Thabeet. Hivi karibuni alijunga na majaji wa Bongo Star Search kwa. Dar Es Salaam Time. Millard A...
kwafujodeejayz.blogspot.com
kwafujodjeejayz: AIBU: KAMANDA WA CHADEMA AREKODIWA AKIJIELEZA JINSI ALIVYOKUBALI KUCHEZEWA NYETI ZAKE NA KUSAGWA NA JIKE MWENZAKE
http://kwafujodeejayz.blogspot.com/2013/07/aibu-kamanda-wa-chadema-arekodiwa.html
Sunday, July 28, 2013. AIBU: KAMANDA WA CHADEMA AREKODIWA AKIJIELEZA JINSI ALIVYOKUBALI KUCHEZEWA NYETI ZAKE NA KUSAGWA NA JIKE MWENZAKE. Miezi michache baada ya kuvuja kwa video inayomuonesha mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare akidaiwa kupa. Nga mauaji ya mwandishi wa habari,video nyingine ya kamanda wa chama hicho,Linda Bezuidenhout imenaswa live! Katika video hiyo, kamanda huyo wa CHADEMA alijieleza jinsi alivyokuwa anasagwa na mwanamke huyo.
SOCIAL ENGAGEMENT